Breaking

Jumanne, 25 Novemba 2025

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania imetoa utabiri wa hali ya hewa kwa maeneo mbalimbali nchini, kama ifuatavyo,

Mikoa ya Kigoma, Kagera na Geita: Mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache.


Tanga, Mtwara, Unguja na Pemba: Mawingu kiasi na mvua katika maeneo machache.


Dar es Salaam na Pwani (pamoja na Mafia): Mawingu kiasi na mvua nyepesi katika maeneo machache.

Ruvuma na Lindi: Mawingu kiasi na vipindi vya jua.


Morogoro, Singida na Dodoma, pamoja na Manyara, Arusha na Kilimanjaro, na Rukwa, Iringa, Njombe, Songwe, Mbeya, pamoja na Tabora, Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Mara: Mawingu kiasi na vipindi vya jua.


Upepo wa pwani: Unavuta km 20 kwa saa; bahari mawimbi madogo.


Matarajio ya Alhamisi: Mabadiliko madogo ya hali ya hewa.


Utabiri umetolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania, TMA.


Hakuna maoni: