Breaking

Jumamosi, 29 Novemba 2025

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO


Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania TMA imetoa utabiri wa hali ya hewa kwa maeneo mbalimbali nchini, kwa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku kama ifuatavyo, 

  • Kagera na Geita: Mawingu kiasi na vipindi vya jua.
  • Visiwa vya Unguja na Pemba: Mawingu kiasi na vipindi vya jua.
  • Dar es Salaam na Tanga: Mawingu kiasi na vipindi vya jua.
  • Kigoma, Katavi na Tabora: Mawingu kiasi na vipindi vya jua.
  • Ruvuma, Mtwara na Lindi: Mawingu kiasi na vipindi vya jua.
  • Morogoro, Singida na Dodoma: Mawingu kiasi na vipindi vya jua.
  • Arusha, Manyara na Kilimanjaro: Mawingu kiasi na vipindi vya jua.
  • Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Mara: Mawingu kiasi na vipindi vya jua.
  • Pwani (ikijumuisha Mafia): Mawingu kiasi na vipindi vya jua


Hakuna maoni: