Leo ni Siku ya Kisukari Duniani , na kwa kuzingatia kauli mbiu ya mwaka huu “ Kisukari na Ustawi wa Afya: Chukua Hatua Kudhibiti Kisukari Mahali Pa Kazi ,” vyombo vya habari vinahimizwa kutumia majukwaa yao kuhamasisha umma kuhusu umuhimu wa uchunguzi wa mapema, kuandika na kuripoti habari zenye ushahidi kuhusu kisukari, kuelimisha jamii ya wafanyakazi juu ya mbinu za kuzuia na kudhibiti kisukari mahali pa kazi, kuibua mijadala inayoleta ufahamu kuhusu mtindo bora wa maisha, na kushirikiana na wadau wa afya kusambaza taarifa sahihi zitakazowezesha jamii kuchukua hatua za kuboresha ustawi wao.
Ijumaa, 14 Novemba 2025
LEO NI SIKU YA KISUKARI DUNIANI
Tags
# AFYA
About Lilian Madelemo
Lilian Madelemo is a seasoned Tanzanian journalist, radio presenter, and digital media specialist with a vibrant career spanning since 2011. Known for her insightful storytelling and dynamic presence, she has built a strong reputation across both radio and online platforms. She is also the founder of the Madelemo News Blog, where she continues to inform, engage, and inspire through multimedia journalism.
AFYA
Lebo:
AFYA
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni