Leo ni Siku ya Kisukari Duniani , na kwa kuzingatia kauli mbiu ya mwaka huu “ Kisukari na Ustawi wa Afya: Chukua Hatua Kudhibiti Kisukari Mahali Pa Kazi ,” vyombo vya habari vinahimizwa kutumia majukwaa yao kuhamasisha umma kuhusu umuhimu wa uchunguzi wa mapema, kuandika na kuripoti habari zenye ushahidi kuhusu kisukari, kuelimisha jamii ya wafanyakazi juu ya mbinu za kuzuia na kudhibiti kisukari mahali pa kazi, kuibua mijadala inayoleta ufahamu kuhusu mtindo bora wa maisha, na kushirikiana na wadau wa afya kusambaza taarifa sahihi zitakazowezesha jamii kuchukua hatua za kuboresha ustawi wao.
Ijumaa, 14 Novemba 2025
LEO NI SIKU YA KISUKARI DUNIANI
Tags
# AFYA
About Madelemo News
Independent Journalism. In-Depth Analysis. Trusted Reporting. Madelemo News is your go-to digital media platform for comprehensive news, insightful analysis, and stories you can trust. Stay informed, stay ahead.[Read Analysis] Contact Us madelemonews@gmail.com +255 714 195 999
AFYA
Labels:
AFYA
Independent Journalism. In-Depth Analysis. Trusted Reporting. Madelemo News is your go-to digital media platform for comprehensive news, insightful analysis, and stories you can trust. Stay informed, stay ahead. [Read Analysis] Contact Us @madelemonews@gmail.com +255 714 195 999
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni