Timu ya Taifa ya Tanzania chini ya umri wa miaka 17 imeibuka mabingwa kwenye mchezo wa fainali kufuzu AFCON 2026 Kanda ya CECAFA dhidi ya Uganda kwa kushinda magoli 3 kwa 2.
Tanzania U17 🇹🇿 3️⃣ - 2️⃣ 🇺🇬 Uganda U17
*WAFUNGAJI:*
Razack Juma ⚽️ ⚽️
Luqman Mbalasalu ⚽️

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni