Akizindua kamati hiyo Bw. Abed amesema ni Kamati muhimu kwa kuwa ndio jicho la kwanza la TPA na Menejimenti kwani itasimamia na kuweka uangalizi ili kuzuia vihatarishi vya ajali na majanga na kuimarisha usalama na afya katika shughuli za uendeshaji bandarini.Amesema kuwa Bandari ya Dar es Salaam ni kinara katika kuhudumia kiwango kikubwa cha shehena, hivyo ni tegemeo kiuchumi ikiwa pia ni sehemu yenye vihatarishi vingi, hivyo usalama na afya katika bandari lazıma upewe kipaumbele.
Ijumaa, 3 Aprili 2026
KAMATI YA USALAMA MAHALI PA KAZI BANDARI YA DAR ES SALAAM YAZINDULIWA
Tags
# BUSINESS
About Madelemo News
Independent Journalism. In-Depth Analysis. Trusted Reporting. Madelemo News is your go-to digital media platform for comprehensive news, insightful analysis, and stories you can trust. Stay informed, stay ahead.[Read Analysis] Contact Us madelemonews@gmail.com +255 714 195 999
BUSINESS
Labels:
BUSINESS
Independent Journalism. In-Depth Analysis. Trusted Reporting. Madelemo News is your go-to digital media platform for comprehensive news, insightful analysis, and stories you can trust. Stay informed, stay ahead. [Read Analysis] Contact Us @madelemonews@gmail.com +255 714 195 999
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)






Hakuna maoni:
Chapisha Maoni